Showing posts with label UDOM. Show all posts
Showing posts with label UDOM. Show all posts

Thursday, April 4, 2013

OLIVER JULIUS

Some other never miss event.... Praising and worshiping God together with the inauguration of a nice album that goes by the name "Mtumishi wako" meaning your servant. It is an album made by a dear brother Oliver Julius, a second year student at the University of Dodoma taking Telecommunication Engineering. 
It is a good sign that nothing can refrain us from serving God. We are gifted and we are glorifying God with what He has blessed us.
Do not plan to miss this, I always say this not because I am used to the phrase but because I mean it. Come let us magnify our true living God!
It is this Saturday (7th of April) at Taji Cafeteria, college of Social Science.


Monday, March 18, 2013

THIS FRIDAY, DODOMA!!!

A PRAISE AND WORSHIP EXPERIENCE
As Christians, to a very big extent, we all know the importance of praise and worship. It is not just abut singing and dancing but it's a lot more about experiencing and encountering the presence of God and letting God minister unto our spirits and souls as we lift Him up, exalting, magnifying and bowing before Him.

Here is what TAFES brings to you, a night of PRAISE AND WORSHIP!
when: Friday, 22nd March
where: Nyerere hall at MIPANGO
We are going to have John Lisu coming all the way from Dar-Es-Salaam with his team as well as the TAFES praise and worship team which is super and well prepared!!!
More information, check out the poster below.

Keep in mind that this is not going to be for students only, ALL ARE INVITED! And there will be drinks and bytes at affordable prices.
God is going to be glorified and you will encounter His presence!

It is a never miss event!

Perhaps you have attended many events, trust me, DO NOT even think about missing this one!!!
            COME AND MAGNIFY THE LORD!!!

Tuesday, January 15, 2013

ILIKUWA SAFI SAAAANA!!!

 Ilikuwa siku muhimu kweli kwa Victor John na kila aliyefika anaweza akasimulia namna ilivyokuwa si ya kukosa. Mungu alikuwa pamoja nasi...

Kitu live...!


Girls singers

Boys singers
Sauti ya kwanza 'praise team'
Mhubiri, kipindi cha neno, lazima tukue!
Nani kasema kwenye uzinduzi hawaokoki!
Nani kasema kwenye uzinduzi hawaombei watu!
UDOM  choir
CF choir




Paul and the team
Cheza kwa BWANA!

Cheza  cheza...!
Paul and the team
















Baada ya hayo yotena mengine mengi... Ni  wakati wa kumbukumbu sasa......

Family
No comment
Nzuri!

MamaDee and Victor






Nice!
Na dada mtu











Utukufu wote tunamrudishia Mungu ambaye pasipo yeye kisingetokea kitu! Mungu ni mwema na anaweza!

Tuesday, January 8, 2013


                MTOTO NA KANISA



kutana na Victor John mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma, mtumishi wa Mungu ambaye anatarajia kuzindua album yake mwishoni mwa wiki hii Jumaamosi ya tarehe 12 mwezi huu wa kwanza ikiwa ni Uzinduzi wa kwanza hapa UDOM kwa mwaka 2013 pale "Social Science Taji Cafeteria" kuanzia saa kumi na mbili jioni hadi saa sita usiku (1800-0000hrs).

Kitu kilichonivutia hasa ni Jina la Album na lengo hasa la kutoa album hiyo. Kama umewahi kufundisha watoto au umewahi kuakaa karibu na watoto, ama unao au unatarajia kuwa na watoto, utamshukuru Mungu kwa ajili ya Victor kwa haya maono aliyompa!

Haya ni maneno yake mwenyewe Victor aliyoniambia pale nilipotaka kujua hasa kuhusu jambo hili

"Jina la album MTOTO NA KANISA (mlee mtoto katika njia impasayo nae hataicha hata atakapokua mzee)


Dhima ya album hii ni kufanya 'restoration' ya nafasi ya mtoto kanisani ili siku za usoni aje kuwa kifaa bora, in 'many cases' leo makanisani unakuta watoto wa waamini ndio wanaosikia kwa maovu kuliko hata watu wengine. Hii inatokana na kukosa malezi bora ya Kimungu. Mfano ni rahisi sana watoto kuambiwa wawapishe wakubwa kwenye viti ili wakubwa wakae na watoto hao wanaishia kupelekwa nje. 'Unknowingly' wanaharibu kizazi kijacho kwa taifa na kanisa pia. 'So in my album' nimeongea umuhimu wa kumlea mtoto katika maadilimya kimungu. 'By the way my parents are priests', nimeona tofauti kati ya kumlea mtoto katika njia inayompasa na njia isiyompasa. Laiti kama nisingelelewa katika njia inipasayo sijui hata kama leo ningekua UDOM. 'This album' inagusa maisha yangu binafsi, na nataka kanisa lifanye 'as the way' nilivyolelewa ili kisiwepo kizazi kitakachohatarisha mustakabali wa kanisa na taifa pia. 

Nimefanya kazi na huduma ya watoto na vijana tabora (HUIMA) na natamani kuendelea kuifanya kwa sababu ni kitu kinachonigusa mimi mwenyewe. Nimefanya 'concerts' za 'praise and worship' mbalimbali ambazo ziliwakutanisha vijana wa mashuleni na vyuoni, na katika hizo 'concerts' wengi walimpokea Yesu. haitaishia hapa, nitaendelea nayo hii huduma na 'partners' wangu ambao wengi wao wameenda masomoni vyuo vingine."


Kwa kweli, utakubaliana na mimi kwamba tunahitaji watu wengi zaidi wenye moyo wa kumtumikia Mungu, wasio wavivu kujua Mungu anataka wafanye nini, na wanapopata kufahamu, wanachukua hatua na kuhakikisha kitu kimetokea si kwa kujifurahisha bali kwa kumpa Mungu utukufu!

Mungu ana watu wengi hivyo pamoja na wewe na mimi tutakaokuwepo kwenye tukio hilo, pia watakuwepo waimbaji mbali mbali kama The Living testimony, Paul Clement wa Glorious Celebration, kwaya za Casfeta na Uscf, Gadi Visima, Edward Mnyema Oliver Julius, Titho Buzuka na wengine wengi.

Titho Buzuka
Paul Clement
Oliver Julius


Ni uzinduzi unaoambatana na sifa na ibada kwa Mungu!Njoo umsifu Mungu, wekeza kwa BWANA! Hii si ya kukosa...




Saturday, December 1, 2012

ZAMU YA...... TITHO BUZUKA....!!!

KUTANA NA TITHO BUZUKA....!!!

Ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo kikuu cha Dododoma - Informatics and Virtual Education anayechukua masomo ya "Computer and Information Security (CIS)" . 
Kwa wale wanaojua UDOM kwa kweli watakubaliana nami kwa jinsi ambavyo tumebarikiwa kuwa na waimbaji wengi wa nyimbo za Injili. Wengi wamezindua na sasa mbele yetu tunatarajia uzinduzi wa album ya Titho ambayo kwa kweli ni ya kipekee na nitakupa sababu mbili katika hili

kwanza ni ya nyimbo za kumsifu na kumuabudu Mungu ambazo zitakusogeza kwenye uwepo wa Mungu.

Pili zimeimbwa kwa ustadi ukizingatia kwamba Titho ni kijana mpole, mnyenyekevu na mwenye kumuheshimu Mungu lakini pia ana kipaji na karama katika eneo hilo.

Lakini katika hayo yote, nilimtafuta Titho mwenyewe nipate kujua walau mambo baadhi kuhusu album na siku yenyewe ya uzinduzi na wewe pia upate kujua kutoka kwake...

Aliniambia kwamba, ukiacha masomo anayosoma hapa, yeye ni muajiriwa katika shule ya sekondari Mugumu iliyopo Serengeti Musoma. Na pia ni mwanzilishi wa huduma ya "Healing Praise Ministry (HPM)". 

Akizungumzia kuhusu uzinduzi, alisema kuwa itakuwa siku ya Jumaamosi tarehe 8 mwezi wa 12 UDOM - Social Science katika ukumbi wa Taji Cafeteria  kuanzia saa kumi na moja jioni hadi saa sita usiku.

Bila kusahau kitu muhimu, jina la album!!

Alisema kuwa album inaitwa "NIGUSE" ambayo ina jumla ya nyimbo tisa. 

Haya sasa, nilitamani kujua nini kilichomsukuma kutengeneza album hiyo maana ni wengi wanaimba na kila mtu ana sababu zake za kufanya hivyo. Nini hasa sababu kwa upande wake, Titho alikuwa na haya ya kusema.

"Lengo hasa ni kumsifu na kumuabudu Mungu, dhima kubwa ya album ni kumuabudu Mungu, na haimaanishi ni nyimbo za taratibu tu."

Kuna jambo pia la kuhusiana na HPM. Nilitamani kujua zaidi kuhusu hilo.

Alisema kuwa, HPM ni huduma inayojihusisha hasa na kusifu, kuabudu na maombezi. Na pia wanajihusisha na mambo mengine kama "shooting, cover designing, doubling" na mengine mengi.

Nini hasa kilikusukuma kuanzisha HPM? Lilikuwa swali langu lingine na Titho alikuwa na haya ya kusema

"Nilikuja kugundua kwamba maisha yangu yanakamilishwa kwenye kumsifu na kumuabudu Mungu na ndio lengo hasa la kuanzisha HPM. Natamani hasa kumuinua Mungu na kuona watu wakiponywa, wakifunguliwa na kuwekwa huru. "


Turudi kwenye uzinduzi, nani pia wanatarajiwa kuwepo kuhudumu siku hiyo?

Aliniambia kuwa wapo waimbaji wengi kama
Joshua Ndaki
Jane Silomba
Gift Kalinga
Victor John
The Living Testimony
Casfeta Social Science Choir
Casfeta Education Choir
Casfeta UDOM Choir
Joshua Ndaki
Visima Gadi
Victor John
na wengine wengi



Kabla ya kumaliza mazungumzo yetu, nilitaka kusikia nini Titho anataka kuwaambia watu kuhusu uzinduzi wa album yake hiyo tarehe nane.....


"Watu wategemee uzinduzi wa album utakao ambatana na kusifu na kuabudu. Tuje tumuabudu Mungu!!!"
  

HII SI YA KUKOSA.... Jumaamosi tarehe nane Disemba pale Social Science UDOM!!!

Monday, November 19, 2012

WHAT WAS UP WITH CAMPUS NIGHT DODOMA 2012.....!!!

Just like I told you,
                t'was a 'never miss event'
CAMPUS NIGHT DODOMA CHAPTER TWO!!!

We were blessed as well as being a blessing to one another....!!
Our guest of honor, Dr. Rehema Nchimbi gave us a grand opening word reminding us on knowing who we really are where we are as Christians, students and citizens of this country, it was super!
Dr. Rehema Nchimbi giving an opening word

We heard the word of God from Pastor Gavin all the way from America. It was about knowing our purpose in life, we all need that for sure!
Pastor  Gerald Ole Nguyaine (from ICC) (left) tranlsating  for Pastor Gavin Walker (right)

Chimwaga was FULL, more than 4000 students from different universities in Dodoma. And different guests from other regions!!
Chimwaga full!!

 Some of the mass choir members just before the event... We were in red...!!!


My life, my love, my all...
I gave it all to the LORD

Jescar representing well the Jsisters ... Escorted with some Friends
Jescar with the MC's  Richard And Aaron
Jescar and her friends ministering with a mega mix song from the Jsisters album

We were taught the word of God, sang, danced 
MC's dancing with the guest of honor and her fellow

and guess what, we had time to laugh with Richard Chidundo.....
Oh how I wish it could be every week or at least every month or once in two months time....!!!
God bless each and everyone who participated in any way to make it possible!!!
Waiting for chapter three and I'm sure it's gonna be awesome....!!! From glory to glory....!!!!

My life (I give), My love (I give), My all.....!!!